MVUNJA REKODI RASHFORD ANAWEZA KUWA GWIJI WA MANCHESTER UNITED

Mshambuliaji huyo wa Uingereza ameendeleza mwendo wake mzuri mbele ya goli katika ushindi wa 4-0 Carabao Cup dhidi ya Burton Albion
Manchester United walipata ushindi kwenye Kombe la Carabao Jumatano, Marcus Rashford akifunga mabao mawili ya mapema na kutoa pasi moja ya goli wakiitungua 4-0 Burton Albion katika uwanja wa Old Trafford.
Kinda huyo sasa ameifungia United mabao 24 na bado hajatimiza miaka 20, kiwango chake cha msimu huu ni ishara kuwa amepevuka.
Hata Wayne Rooney hakuweza kufunga mabao mengi kwa klabu akiwa na umri wa Rashford, na nahodha huyo wa zamani wa Uingereza aliweka rekodi ya magoli 253 kabla ya kurejea Everton majira ya joto.
Awali, alitabiriwa na Jose Mourinho kuwa ataikaribia rekodi ya Rooney, Rashford ameendelea kuwa mshambuliaji mahiri.
Na mwandishi  wa Manchester United Kris Voakes anasema, ikiwa bado n siku za mapema sana kwa Rashford, ameonesha dalili zote za kuwa shujaa wa United sambamba na magwiji wa miaka iliyopita.

No comments:

Post a Comment

Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea

Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...

Most viewed