kiungo Mfaransa alichaguliwa kuwa kapteni kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya FC Basel, lakini alitolewa kwenye kipindi cha kwanza kutokana na tatizo la misuli. Nafasi yake ilichukuliwa na Maroune Fellaini na Mbelgiji huyo alionesha thamani yake, alifunga goli na kusaidia lingine la Marcus Rashford.
Akizungumza na MUTV wakati wa mahojiano katika Complex Aon Training,Jose alianza kwa kutoa taarifa juu ya afya ya Pogba. "Ni mejeruhi na hawezi kucheza siku ya Jumapili," meneja alituambia.
Mourihno amesema hajui kwa muda gani Pogba atakuwa nje na baadaye aliongeza: "Tunajua kwamba, kwa mechi chache, sijui ngapi, lakini natarajia tutacheza bila Pogba kwa mechi chache "Hata hivyo, Jose alikuwa na nia ya kusisitiza kutokuwepo kwake ni fursa nzuri kwa kikosi kimoja kupambana.

No comments:
Post a Comment