MANCHESTER UNITED YAANZA NA USHINDI LIGI YA MABINGWA ULAYA

ndondo2017.blogspot.com
Manchester United imefungua kampeni zake kwenye Ligi ya mabingwa ulaya kwa ushindi wa goli 3 kwa bila.
United, ambaye amerejea kwenye ushindani wa klabu bingwa ulaya baada ya kukosekana kwa mwaka mmoja baada ya kushinda kombe la Europa msimu uliopita, walimpoteza kwa majeruhi kipindi cha kwanza lakini mabadala wake Fellaini alikuja kuleta madhara makubwa, alifunga goli la kwanza dakika ya 35
Romelu Lukaku aliongeza lingine dakika ya 53 kabla ya mtokea benchi Rashford kuja kuhakikisha alama tatu kwa vijana wa Jose Mourihno.
Pogba alizawadia kitambaa cha ukapteni na Mourihno lakini alicheza kwa dakika 19 tu na Mfaransa huyo kuumia kama kifundo cha mguu.

No comments:

Post a Comment

Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea

Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...

Most viewed