PAUL POGBA APATA MAJERAHA MAN UNITED IKISHINDA DHIDI YA BASEL


ndondo2017.blogspot.com
Mechi ya kwanza ya Paul Pogba kama nahodha wa Manchester United ilidumu kwa muda wa dakika 18 tu baada ya kupata majeraha dhidi ya Basel
Meneja wa Manchester United amesema hajui ni kiasi gani mchezaji huyo amepata majaraha baada ya mchezo, lakini Mfaransa huyo alitoka Old Trafford akiwa anaugulia maumivu.
"Kwa kweli sijui, lakini kwa uzoefu wangu, kwa kuangalia tu nahisi ni majeraha ya misuli," Mourinho alisema. "Jeraha kubwa, dogo, sijui."
Michael Carrick na Antonio Valencia wakiwa benchi, Pogba alirithi kitambaa cha unahodha katika uwanja wa Old Trafford, lakini haikuwa siku yake nzuri kwa sababu ya majeraha hayo.

No comments:

Post a Comment

Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea

Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...

Most viewed