MOURINHO: "MAN UNITED HAIJAFANYA CHOCHOTE"

Mourinho amekiri kuwa timu yake imeanza vizuri, lakini amesisitiza kuwa bado kuna kazi kubwa dhidi ya mahasimu wakuu
Meneja wa Manchester United Jose Mourinho amesema kuwa timu yake haijafanya chochote katika mbio za taji Ligi Kuu Uingereza.
United wameshinda mara sita na sare moja katika mechi zao saba za msimu huu, ingawa bado hawajakabiliana na wapinzania wanaoaminika kuwa washindani halisi wa taji.
Mourinho amekiri kuwa timu yake imeanza vizuri, lakini amesisitiza kuwa bado kuna kazi kubwa mbeleni ikiwa klabu hiyo inataka kuendelea kubaki kileleni.

No comments:

Post a Comment

Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea

Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...

Most viewed