Man United kutoa €80 milion kwa Tanguy Ndombele



Manchester United imefanya mawasiliano na kuonyesha nia ya kumsajili Tanguy Ndombele katika dirisha la uhamisho wa majira ya joto, kulingana na tetesi za usajiri .
Le10 Sport ya nchini Ufarasa imeripoti kuwa Man City na United wako kwenye ushindani  kumsajili kiungo huyo wa Lyon na ufaransa mwenye umri wa miaka 22.
Man city waliamua  Ndombele anapaswa kuhamia mwishoni mwa msimu, hata hivyo sasa United imeongeza jitihada zao juu ya mpango huo.
Ripoti hiyo inaonyesha United  amefanya kuwasiliana na wakala  wa wachezaji,  juu ya uhamisho wa kiungo wa Ufaransa mwishoni mwa msimu huu.
Kwa mujibu wa ripoti ya United na City, wote wawili walitakiawa katoa ada € 80millioni, ili kupata sgining yake.
Hata hivyo, report hiyo imesema kwamba Juventus pia wameonyesha nia ya kumtaka Ndombele  kwa njia yoyote kwa kupiku vilabu vya Manchester.


No comments:

Post a Comment

Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea

Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...

Most viewed