Ole Gunnar Solskjaer aweka wazi Maagizo aliyopewa


Ole Gunnar Solskjaer amebainisha kuwa alikuwa na kazi ya kuinua Manchester United baada ya kuteuliwa kuwa msimamizi wa muda.

Kocha mwenye asili ya Norway  aliteuliwa kama meneja wa muda wa klabu mwezi  Desemba kufuatia kufukuzwa kwa Jose Mourinho.

Tangu Solskjaer ameingia amefanya  mabadiliko makubwa ya kihisia huko Old Trafford ambayo yamefanya Man utd kutopoteza  mechi 10 na kufanya man Utd kutimiza ndoto zao za kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.

Ushindi dhidi ya Fulham katika Ligi Kuu ya Jumamosi umeifanya man Utd kuingia katika nafasi 4 bora za ligi hiyo

Akizungumza kocha huyo mwenyewe umri wa miaka 45 aliweka bayana maelezo aliyopewa alipokabidhiwa timu hiyo

Akiizungumza na sky sports  maelezo aliyopewa  "Manchester United iwe timu pendwa na kila aliye kwenye timu afurahie kuwepo kwenye timu na kuipenda timu"

No comments:

Post a Comment

Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea

Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...

Most viewed