Ole Gunnar Solskjaer aweka wazi Maagizo aliyopewa
Ole Gunnar Solskjaer amebainisha kuwa alikuwa na kazi ya kuinua Manchester United baada ya kuteuliwa kuwa msimamizi wa muda.
Kocha mwenye asili ya Norway aliteuliwa kama meneja wa muda wa klabu mwezi Desemba kufuatia kufukuzwa kwa Jose Mourinho.
Tangu Solskjaer ameingia amefanya mabadiliko makubwa ya kihisia huko Old Trafford ambayo yamefanya Man utd kutopoteza mechi 10 na kufanya man Utd kutimiza ndoto zao za kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.
Ushindi dhidi ya Fulham katika Ligi Kuu ya Jumamosi umeifanya man Utd kuingia katika nafasi 4 bora za ligi hiyo
Akizungumza kocha huyo mwenyewe umri wa miaka 45 aliweka bayana maelezo aliyopewa alipokabidhiwa timu hiyo
Akiizungumza na sky sports maelezo aliyopewa "Manchester United iwe timu pendwa na kila aliye kwenye timu afurahie kuwepo kwenye timu na kuipenda timu"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Alichofanyiwa Rudiger na shabiki wa Chelsea
Kufatia mchezo wa jana kati ya Man city na Chelsea, Chelsea kuambilia kipigo cha goli 6, baada ya mchezo kumalizika mlinzi huyo wa kat...
Most viewed
-
Mshindi wa Kombe la Dunia amejifunga kwa mkataba mpya wa maisha na miamba wa La Liga, na hataondoka kamwe Camp Nou Andres Iniesta am...

No comments:
Post a Comment